×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Zanzibar ferry capsizes

Zaidi ya watu 187 ya wasafiri wamepoteaza maisha yao katika mkasa wa feri unaokisiwa kuwa mbaya zaidi kuwahi kutokea nchini tanzania. Feri hiyo mv spice ilizama baharini hapo jana usiku ikiwa imebeba zaidi ya watu 500. Feri hiyo inasemekana ilikuwa ikitoka zanzibar kuelekea kisiwa cha pemba pwani mwa nchi ya tanzania. Serikali ya zanzibara imetangaza siku tatu za maombolezi
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in