Zanzibar ferry capsizes

Zaidi ya watu 187 ya wasafiri wamepoteaza maisha yao katika mkasa wa feri unaokisiwa kuwa mbaya zaidi kuwahi kutokea nchini tanzania. Feri hiyo mv spice ilizama baharini hapo jana usiku ikiwa imebeba zaidi ya watu 500. Feri hiyo inasemekana ilikuwa ikitoka zanzibar kuelekea kisiwa cha pemba pwani mwa nchi ya tanzania. Serikali ya zanzibara imetangaza siku tatu za maombolezi