IEBC Nominees - Swahili
Jopo linalolodhibiti uteuzi wa makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka limechapisha orodha ya watu 262 waliotuma ombi la kuwa makamisha wa tume hiyo.isaack hassan ambaye ni mwenyekiti wa tume shikilizi ya uchaguzi ni miongoni mwa watu wanne wanaowania nafasi ya uwenyekiti wa tume hiyo.pia imebainika kwamba makamishna wanane kati ya tisa wa tume hiyo wamejitokeza kuwania nyadhfa za makamishna.orodha ya majina ya wale watakaofanyiwa uchunguzi kuhusiana na tume itakayoratibu mshahara wa wabunge katika bunge la kitaifa na bunge la senate pia yamechapishwa.uchunguzi huo unatarajiwa kuanza tarehe sita mwezi huu katika jumba la county hapa jijini.
Share this story
Kemboi wins steeple chase - Swahili
<object style="height: 390px; width: 640px"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/-GHswjR_ShA?version=3"><param name="allowFullScreen" value="true"><param name="allowScriptAccess" value="always"><embed src="http://www.youtube.com/v/-GHswjR_ShA?version=3" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="640" height="390"></object>When Njonjo almost resigned over coffee smugglers
Known as the era of black gold, it began in 1976 when Ugandan farmers decided to sell their coffee in the private market.MOST READ

- Accept polls outcome in August, Uhuru tells aspirants
NATIONAL
By Brian Okoth
- What the design of Pension Towers symbolises.
NATIONAL
- If Kalonzo chooses to work with Raila, I'll support him, says Andrew Sunkuli
POLITICS
By Mate Tongola
- Former Runyenjes MP denies links to viral post on running mate
NATIONAL
- Ruto catches Karua by surprise as he breaks protocol
NATIONAL
By Betty Njeru