×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

IEBC panel sworn in - Swahili

Jopo litakalowachunguza na kuwateuwa makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka limeapishwa hii leo na jaji mkuu Willy Mutunga.waziri wa sheria mutula kilonzo alieleza jopo hilo kuwa darubini ya wakenya inawalenga katika kuhakikisha kuwa wameteuwa makamishna watakaorejesha imani ya wakenya kuhusiana na tume ya uchaguzi nchini.pia aliwaomba kujitenga na shinikizo za kisiasa, ukabila na kubuni tume isiyoegemea upande mmoja. Jopo hilo lina siku saba kutangaza nafasi hizo.
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in