Kirinyaga attacks-Swahili

Nyumba ya jamaa mmoja anayedaiwa kuagiza kufanyika kwa mauaji ya mfanyibiashara mmoja kwenye kijiji cha Kiringo kwenye kaunti ya Kirinyaga imeteketezwa moto na mali ya thamani isiyojulikana kuharibiwa. Hata hivyo mshukiwa huyo hakuwepo  nyumbani mwake wakati wa tukio hilo huku kukiwa na madai kwamba wanakijiji hao walidokezewa kuhu su mauaji ya mfanyibiashara huyo na jamaa mmoja aliyeagizwa kutelekeza mauaji hayo ambaye pia aliuawa..