Return of "chokoraa" Pt 2 - swahili

Maswali mengi yanaulizwa mbona familia zinazorandaranda zimarejea tena kwa vishindo katika miji yetu. Ni nani wa kulaumiwa kwa kupuuzilia wajibu wake? Ni wazazi, jamii, au serikali? Na je hazina ya kitaifa iliyotwikwa jukumu la kuwajibikia masilahi ya familia hizo imepiga hatua gani miaka minane tangu ilipobuniwa? Hayo ni kati tu ya maswali ambayo john juma anatafutia majibu kwenye taarifa ifuatayo

Related Topics

chokoraa