Siasa Za KKK

Viongozi kutoka jamii ya waluhya wamejitokeza kumzomea mbunge wa Cherangany Joshua Kutuny kwa semi zake mjini Eldoret na kumtaka mbunge wa Eldoret kaskazini William Ruto kueleza bayana msimamo wao wakidai viongozi hao wana njama ya kumtumia eugene wamalwa na kisha kumtelekeza kupitia muungano wa KKK.Hata hivyo Ruto alijitokeza na kujitetea kwa kusema kuwa mrengo wa KKK haupo na kwamba umebuniwa na wenye ari ya kuwachafulia jina.kulingana na Ruto ari yao ya kuja pamoja ni kuleta mageuzi katika mfumo wa uongozi kwa kuwapa vijana fursa ya uongozi.

Related Topics

Siasa Za KKK