Shamrashamra za kuukaribisha mwaka mpya kote nchini zilikuwa za aina yake kwa wenyeji wa ikolomani waliotumia fursa ya kuuaga mwaka 2010 kusherehekea mashindano ya vita vya mafahali kama mojawapo ya utamaduni wao. Takriban mafahali 68 kutoka maeneo ya ikolomani na shinyalu walishiriki katika mashindano hayo yaliyoandaliwa katika uwanja wa malinya.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted