Waziri wa sheria Mutula Kilonzo amemtaka mbunge William Ruto kuwasilisha ushahidi dhidi madai aliyoilimbikizia tume ua KNCHR na kamishna wake Hassan Omar ya kwamba alikuwa akiwapa mwongozo mashahidi watakaowasili mbele ya jaji kalpana rawal kuhusiana na kesi za ghasia za baada ya uchaguzi. Kadhalika tume ya kitaifa ya kutetea haki za binadamu KNCHR,ilitetea ripoti yake na kuitaja kuwa bila dosari. Kando na