Washukiwa 60 Wa Mungiki Mahakamani

Washukiwa tisini na mmoja wamefikishwa katika mahakama mbali mbali hapa nchini, wakikabiliwa na mashtaka ya kuhusika kwenye uhalifu, na kuwa wanachama wa makundi haramu pamoja na kukiuka sheria za katiba mpya.Hawa ni baadhi ya washukiwa waliokamatwa kufuatia vita dhidi ya makundi haramu na maafisa wa polisi siku kadhaa zilizopita.