×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Hali Ya Maisha

Kwa mara ya kwanza wakenya wasiokuwa na uwezo wa kupata maeneo nadhifu ya kuelekea msalani imejulikana.Idadi kubwa ipo mkoani kaskazini magharibi ambapo wengi wa wanaoishi eneo hilo huelekea msalani kichakani.la kushangaza ni kuwa mbinu hii ya kuenda msalani kichakani si geni hata jijini Nairobi. Matokeo hayo yanaashiria kuwa huku idadi ya watu ikiendelea kuongezeka, viwango vya umaskini navyo pia vinaendelea kupaa, sasa serikali inawaeleza wakenya kuwa ni sharti sasa waanze kupanga uzazi ili kupmabana na changamoto hizo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Hali Ya Maisha