Jamii Ya Sengwer

 Je mtazamaji, umewahi kusikia kuhusu jamii ya Sengwer hapa nchini Kenya? ni jamii ambayo pamoja na jamii zingine ndogo ndogo zimekuwa zikilia kuwa serikali imewatenga na kukosa kuwajumuishwa kwenye miradi ya ustawi na ufanisi. Wasengwer wanaishi katika milima ya Cherangany na awamu hii wanafurahia katiba mpya wakisema kwa mara ya kwanza kilio chao kuhusu ardhi na haki zao za kibinadamu kitasikizwa.

Related Topics

Jamii Ya Sengwer