Je mtazamaji, umewahi kusikia kuhusu jamii ya Sengwer hapa nchini Kenya? ni jamii ambayo pamoja na jamii zingine ndogo ndogo zimekuwa zikilia kuwa serikali imewatenga na kukosa kuwajumuishwa kwenye miradi ya ustawi na ufanisi. Wasengwer wanaishi katika milima ya Cherangany na awamu hii wanafurahia katiba mpya wakisema kwa mara ya kwanza kilio chao kuhusu ardhi na haki zao za kibinadamu kitasikizwa.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted