Msako Wa Changaa

Maafisa wa polisi mjini Thika wamewatia nguvuni watu kumi na kunasa lita kadhaa za changaa baada yakufanya msako mkali mjini humo. Msako huo wa changaa unajiri baada ya visa kadha wa kadha vya vifo vinavyosababishwa na kileo hicho haramu kuripotiwa  kutoka maeneo mbalimbali humu nchini katika siku za hivi majuzi.  

Related Topics

Msako Wa Changaa