Shutuma Kwa Polisi

Tarehe 17 mwezi mei itakuwa kwenye kumbukumbu ya wengi haswa wakaazi wa likoni eneo la Mombasa, ni siku ambayo juhudi za polisi  kukabiliana na majambazi zioliwaacha wenyeji na makovu na majonzi, hii ni baada ya baadhi ya wenyeji hao kujeruhiwa kwa risasi wakati polisi walipokuwa wakikabiliana na majambazi…..wengi wamejipata vilema na sasa wamekuwa mzigo mkuu kwa familia zao zilizokuwa zikiwategemea kwa riziki. Na sasa wanauliza mbona polisi wakafanya hivyo, je azimio lao lilikuwa kuwanasa majambazi au kuwaacha raia na makovu wasiyostahili?

Related Topics

Shutuma Kwa Polisi