×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Maambukizi Ya Malaria

Huku ongezeko la visa vya malaria vikitarajiwa kuongezeka kutokana na mvua ya masika inayonyesha kila uchao,serikali imeanzisha kampeini dhidi ya malaria na kutoka wiki ijayo itaanzisha operesheni ya kunyunyuzia dawa zaidi ya nyumba milioni moja katika mikoa ambayo huathiriwa zaidi na malaria. watoto tisini na sita hufa kila siku humu nchini na serikali inanuia kupunguza visa hivi kwa asilimia 40% kupitia operesheni hiyo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in