Mjadala Wa Katiba

Kanisa katoliki sasa limejitokeza na kuelezea ghadhabu yake kuhusiana na kupitishwa kwa rasimu ya katiba bila ya marekebisho kufanywa kwenye kipengee kinachozungumzia suala la  uavyaji mimba.Kadinali John Njue amesema kwamba kanisa hilo halitokubali sheria yeyote inayokwenda kinyume na imani ya kanisa hilo, hayo yamejiri huku rais Mwai Kibaki akisema anaunga mkono rasimu hiyo na kuhakikishia wakenya kwamba watapata  katiba mpya.

Related Topics

Mjadala Wa Katiba