×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Kamati maalum yabuniwa kuchunguza madai ya kuwapo kwa sumu katika mahindi

Serikali imebuni kamati maalum itakayochunguza madai ya kuwapo kwa sumu kupita kiasi ya aflatoxins kwenye bidhaa hasa za mahindi nchini. Waziri wa Kilimo Mwangi Kiunjuri na Mwenzake wa Biashara Peter Munya wamesema kwamba wamebuni kamati hiyo  ambayo inawahusisha wataalam mbalimbali  kuchunguza suala hilo.

Munya amesema kwmaba Wizara yake inaendelea kufuatilia suala hilo ili kuhakikisha kwamba vyakula vinavyouzwa nchini vinaafikia viwango vinavyokubaliwa kwa matumizi ya binadamu.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

mahindi Kiunjuri