Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Faida ya kiroho, kijamii na kimaadili katika Ramadhani

Waumini wa kiislamu waswali wakiadhimisha Ramadhani. [Picha: Pambazuko]

Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema zote kubwa na ndogo.Asalam aleikum warahmatullahi taala wabarakatu.Saum Kareem..saum maqbul! Tukiwa ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhan hatuna budi kutowa shukurani zetu kwa Allah Jallah Jallallu kutuwezesha kuona siku ya leo. Ni wengi walioazimia kuwa katika funga hii ya saumu iliyo na faida sufufu lakini hawakuweza kwani wameenda mbele ya haki.

Mimi na wewe tuna bahati kuwa twapumuwa hewa ya Allah Azzah Wajallah kupata fursa hii adimu kuweza kuvuna mengi yaliyo katika mwezi huu unaokuja mara moja kwa mwaka. Funga ama saumu hii ya mwezi wa Ramadhani imezungukwa na neema za kila aina. Neema hizi ziko katika nukta za kijamii, kiroho, kiuchumi na kimaadili na pia kiafya.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News