The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Waumini wa kiislamu waswali wakiadhimisha Ramadhani. [Picha: Pambazuko]
Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema zote kubwa na ndogo.Asalam aleikum warahmatullahi taala wabarakatu.Saum Kareem..saum maqbul! Tukiwa ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhan hatuna budi kutowa shukurani zetu kwa Allah Jallah Jallallu kutuwezesha kuona siku ya leo. Ni wengi walioazimia kuwa katika funga hii ya saumu iliyo na faida sufufu lakini hawakuweza kwani wameenda mbele ya haki.
Mimi na wewe tuna bahati kuwa twapumuwa hewa ya Allah Azzah Wajallah kupata fursa hii adimu kuweza kuvuna mengi yaliyo katika mwezi huu unaokuja mara moja kwa mwaka. Funga ama saumu hii ya mwezi wa Ramadhani imezungukwa na neema za kila aina. Neema hizi ziko katika nukta za kijamii, kiroho, kiuchumi na kimaadili na pia kiafya.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.