The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mgomo wa madaktari uneendelea kuvutia hisia za mashirika mbalimbali, huku wito ukitolewa kwa washikadau kuweka mikakati ya kuusitisha.
Mashirika hayo yakiwamo Baraza la Kidini, Muungano wa Madaktari wa Kike na Muungano wa Utoaji Matibabu, yamesema wanaohusika wanapaswa kulegeza misimamo ya matakwa yao.
Kulingana na Mwenyekiti wa Muungano wa Madaktari wa Kike, Daktari Kristene Sadia, wanaougua saratani, matatizo ya figo, shinikizo la damu, matatizo ya moyo na mengineyo ndio wanaoathirika zaidi. Wengine ni wenye virusi vya ukimwi na waliokuwa wakihudumiwa kutokana na athari za uraibu wa dawa za kulevya.
Mashirika hayo yanasema yatawasilisha waraka kwa wanaohusika katika mazungumo hayo, kutaka mgono huo usitishwe. Wakati uo huo, yanapendekeza mazungumo hayo kuwekwa wazi kwa umma ishara ya uwazi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.