Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Shinikizo zaendelea kutolewa kwa madaktari kusitisha mgomo

Na, Caren Omae

Mgomo wa madaktari uneendelea kuvutia hisia za mashirika mbalimbali, huku wito ukitolewa kwa washikadau kuweka mikakati ya kuusitisha.
Mashirika hayo yakiwamo Baraza la Kidini, Muungano wa Madaktari wa Kike na Muungano wa Utoaji Matibabu, yamesema wanaohusika wanapaswa kulegeza misimamo ya matakwa yao.
Kulingana na Mwenyekiti wa Muungano wa Madaktari wa Kike, Daktari Kristene Sadia, wanaougua saratani, matatizo ya figo, shinikizo la damu, matatizo ya moyo na mengineyo ndio wanaoathirika zaidi. Wengine ni wenye virusi vya ukimwi na waliokuwa wakihudumiwa kutokana na athari za uraibu wa dawa za kulevya.
Mashirika hayo yanasema yatawasilisha waraka kwa wanaohusika katika mazungumo hayo, kutaka mgono huo usitishwe. Wakati uo huo, yanapendekeza mazungumo hayo kuwekwa wazi kwa umma ishara ya uwazi.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics