Gavana wa Bungoma azindua kichinjio cha kuku

Mchagua jembe si mkulima,kazi ni kazi,la mno ni kuilinda kazi hiyo. Siku chache baada ya gavana wa Bungoma kuzindua kichinjio cha kuku, wakaazi wamefaidika mno kutokana na ajira tofauti tofauti.

Wakulima pia wamehamasishwa kufuga kuku wengi ili iwe biashara kwao sufufu ya moja kwa moja. Iwapo magavana wote wangewazua jambo kama hilo,kulingana na wananchi,nchi hii ingekua imepiga hatua kem kem.

Related Topics

Kuku Bungoma