The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mchagua jembe si mkulima,kazi ni kazi,la mno ni kuilinda kazi hiyo. Siku chache baada ya gavana wa Bungoma kuzindua kichinjio cha kuku, wakaazi wamefaidika mno kutokana na ajira tofauti tofauti.
Wakulima pia wamehamasishwa kufuga kuku wengi ili iwe biashara kwao sufufu ya moja kwa moja. Iwapo magavana wote wangewazua jambo kama hilo,kulingana na wananchi,nchi hii ingekua imepiga hatua kem kem.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.