×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Wangare Maathai passes on

Profesa Wangari Muta Maathai, mshindi wa tuzo la amani la nobel mwaka wa 2004 amefariki. Wangari maathai aliyepata umaarufu wake kupitia juhudi zake za uanaharaki wa kulinda mazingira alifariki usiku wa kuamkia leo, katika hospitali ya nairobi, baada ya kuugua saratani ya mfuko wa mayai kwa muda. Katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki-moon ameomboleza kifo cha maathai aliyemtaja kama kielelezo chema katika utetezi wa haki. Wangari Maathai amefariki akiwa na umri wa miaka sabini na moja.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in