×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Ghost Mulee on liberty academy

Hatma ya mchezo wa soka nchini inaonekana kuwa nzuri baada ya kuanzishwa kwa vyuo vya mafunzo ya soka katika maeneo mbalimbali nchini. Vyuo hivi vimekua vikitambua na kukuza talanta ya mchezo huo huku chipukizi wakipata nafasi ya kujikimu kimaisha. Moja wapo ya vyuo hivyo ni chuo cha liberty academy chini ya kocha wa zamani wa Harambee Stars Jacob Ghost Mulee ambaye anaona nuru gizani.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in