Kemboi wins steeple chase - Swahili

Mwanariadha ezekiel kemboi amekuwa mkenya wa kwanza kutetea taji lake katika mbio za dunia kule daegu korea kusini baada ya kuhakikisha taji la mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi na maji limesalia nchini. Brimin kipruto alimaliza katika nafasi ya pili na kuzidisha idadi ya medali za kenya katika mbio hizo kufikia kumi