Riek Machar azuiliwa Afrika Kusini

News

Na Mate Tongola

NAIROBI, KENYA, Aliyekuwa Makamu wa Rais nchini Sudan Kusini Riek Machar anaendelea kuzuiliwa nchini Afrika Kusini.

Inaarifiwa kuwa Machar ambaye alitorokea taifa la Congo mapema mwezi Agosti mwaka huu baada ya vita kuzuka kati ya walinzi wake na Rais Salva Kiir, anazuiliwa chini cha kifungu cha nyumbani.

Zaidi ya watu milioni moja wametoroka makwao katika taifa hilo changa zaidi ulimwenguni tangu ghasia kuzuka mwishoni mwa mwaka 2013 wakati Kiir wa jamii ya Dinka alipomfuta kazi Machar wa jamii ya Nuer.

By AFP 2 hrs ago
Athletics
Beijing half marathon runners stripped of medals after controversial finish
By AFP 14 hrs ago
Football
Arsenal, Liverpool fight to keep Premier League race alive
Athletics
World hammer silver medallist Kassanavoid eyes glory at Nyayo on Saturday
Athletics
Eldoret City Marathon to have a bigger 10km fun run