Ghost Mulee on liberty academy

Taxi

Hatma ya mchezo wa soka nchini inaonekana kuwa nzuri baada ya kuanzishwa kwa vyuo vya mafunzo ya soka katika maeneo mbalimbali nchini. Vyuo hivi vimekua vikitambua na kukuza talanta ya mchezo huo huku chipukizi wakipata nafasi ya kujikimu kimaisha. Moja wapo ya vyuo hivyo ni chuo cha liberty academy chini ya kocha wa zamani wa Harambee Stars Jacob Ghost Mulee ambaye anaona nuru gizani.

By AFP 16 hrs ago
Football
Arsenal face Tottenham Hotspurs test as Man City seek to continue dominance
Football
FKF Cup: Wounded AFC Leopards look for safe landing ground
Football
FKF Cup: KCB face defending champions Kakamega Homeboyz in quarterfinals
Volleyball and Handball
Kenya Pipeline and KCB off to perfect start at African Volleyball Club Championship