Washukiwa wa kundi gaidi la Al-Shabaab wamevamia kambi ya Maafisa wa Polisi wa Kitengo cha Kukabili Wizi wa Mifugo, Anti-Stock Theft Unit kwenye eneo la Kotulo katika Kaunti ya Mandera.
Maafisa 3 wamejeruhiwa na bomu lililotegwa na washukiwa wakati wa uvamizi huo.
Maafisa wa usalama kutoka Wajir wametumwa katika eneo hilo la Kotulo ili kudumisha usalama na kuwasaka washukiwa hao.
Mengi yaja....