Kambi ya Kukabili Wizi wa Mifugo yavamiwa Mandera na washukiwa wa ugaidi

Washukiwa wa kundi gaidi la Al-Shabaab wamevamia kambi ya Maafisa wa Polisi wa Kitengo cha Kukabili Wizi wa Mifugo, Anti-Stock Theft Unit kwenye eneo la Kotulo katika Kaunti ya Mandera.

Maafisa 3 wamejeruhiwa na bomu lililotegwa na washukiwa wakati wa uvamizi huo.

Maafisa wa usalama kutoka Wajir wametumwa katika eneo hilo la Kotulo ili kudumisha usalama na kuwasaka washukiwa hao.

Mengi yaja....

Football
FKF Cup: KCB face defending champions Kakamega Homeboyz in quarterfinals
Volleyball and Handball
Kenya Pipeline and KCB off to perfect start at African Volleyball Club Championship
Golf
Huge field ready for battle at KCB East Africa Golf Series Tour in Burundi
Golf
Amateurs to battle for KGU's Trans Nzoia Open Championship in Kitale