Romano On Tea Reforms_230309

Mabadiliko kwenye sekta ya chai yataanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu, kulingana na katibu wa kudumu katika wizara ya kilimo romano kiome. Kiome anasema sheria hizo mpya zitawezesha wakulima kupata mapato zaidi kutoka kwa mmea huo ambao faida yake imekuwa ikididimia kwa muda sasa. Kiome anadai kwamba hii ni kwa sababu wakulima wamegawanya mashamba katika vipande vidogo vidogo.