Ndindi Nyoro asuta serikali kuhusu elimu ya sekondari ya bila malipo

Ndindi Nyoro asuta serikali kuhusu elimu ya sekondari ya bila malipo
Akizungumza jijini Mombasa, Nyoro amesema elimu ni nguzo kuu ya mustakabali wa taifa na lazima iwe ya bure, inayopatikana kwa urahisi na yenye kulindwa dhidi ya ushawishi wa kisiasa.
.

RELATED NEWS