Licha ya wakenya kujizatiti vilivyo mwaka jana kwa kutoa michango yao
kuwasaidia wahanga wa njaa kupitia mradi wa kenyans for kenya,sasa
jitihada hizo zinaoenakana kuambulia patupu baada ya sehemu ya chakula
hicho kuharibikia maghalani.haya yanajiri baada ya kubainika kuharibika
kwa takriban magunia 180 ya chakula aina ya wetabix na bandali 460 za
ujimix katika maghala huko turkana.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted