×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now

KUPPET yazitetea shule zilizoimarika katika KCSE, 2022

Chama cha Kitaifa cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Kadri KUPPET kimezitetea baadhi ya shule ambazo matokeo yake ya mitihani ya Kitaifa ya Kidato cha Nne mwaka jana, yaliimarika pakubwa kulinganishwa na awali.

Katibu Mkuu wa Chama hicho Akello Misori, amesema kuna uwezekano mkubwa kwa matokeo ya watahiniwa kutofautiana kila mwaka kutokana na sababu mbalimbali; mfano kuimarisha hali ya masomo na hata kubadilishwa kwa walimu na wakati mwingine watahiniwa kuwa werevu kulinganishwa na watangulizi wao.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in