Rais William Ruto amehidi kutathmini upya sheria ya ubinafsishaji wa biashara chini ya kipindi cha siku 100 akiwa ofisini, kama njia mojawapo ya mbinu za kuwavutia wawekezaji.
Katika mabadiliko hayo, Rais Ruto amesema kampuni 10 za uwekezaji zitaorodheshwa katika Soko la Hisa katika kipindi cha miezi 12 pekee.