The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Katibu Mkuu wa Chama cha UDA, Veronica Maina amesisitiza kwamba Kenya Kwanza itafanya mkutano wake tarehe 6 Agosti katika Uwanja wa Michezo wa Nyayo, akipinga kupokonywa leseni ya kuendesha mkutano siku hiyo. Kwa mujibu wa Maina, tayari Kenya Kwanza imelipia uwanja huo na hawatakubali kubatilishwa.
Ijumaa wiki hii Kamati ya Kampeni za Ruto iliwasilisha kesi mahakamani kupinga hatua ya Idara ya Michezo kusema kwamba uwanja huo utatumika kwa mikutano ya amani.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…