×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Kenya Kwanza yasisitiza mkutano wake wa mwisho utafanyika Nyayo

Katibu Mkuu wa Chama cha UDA, Veronica Maina amesisitiza kwamba Kenya Kwanza itafanya mkutano wake tarehe 6 Agosti katika Uwanja wa Michezo wa Nyayo, akipinga kupokonywa leseni ya kuendesha mkutano siku hiyo. Kwa mujibu wa Maina, tayari Kenya Kwanza imelipia uwanja huo na hawatakubali kubatilishwa.

Ijumaa wiki hii Kamati ya Kampeni za Ruto iliwasilisha kesi mahakamani kupinga hatua ya Idara ya Michezo kusema kwamba uwanja huo utatumika kwa mikutano ya amani.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Kenya Kwanza, Nyayo