×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Malumbano yaendelea kati ya mrengo wa Kenya Kwanza na Azimio

Majibizano makali yameendelea baina ya pande za Naibu wa Rais William Ruto na Raila Odinga kuhusu madai ya Ruto na wandani wake kumkosea heshima Rais Uhuru Kenyatta.

Kauli ya Ruto kwamba atabuni kitengo cha mahakama cha kuchunguza miradi iliyofanywa na Kenyatta na kumwajibisha imeendelea kuibua mjadala mkali kutoka kwa wapinzani wake wanaodai kwamba yeye ni mnafiki. 

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in