Mamlaka ya Utozaji Kodi Nchini, KRA inalenga kukusanya shilingi bilioni 56.6 ambazo zilipotea kutokana na visa vya ukwepaji kulipa kodi.
Fedha hizo zimehusishwa na kesi 152 zilizowasilishwa kwenye mahakama mbalimbali nchini tangu mwezi Julai mwaka huu.