The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Huenda shughuli za usafiri zikatatizika kote nchini kuanzia Jumatatu wiki ijayo baada ya Muungano wa Wahudumu wa magari ya uchukuzi wa umma kuwashauri wanachama wao kushiriki mgomo. Muungano huo umeitisha mgomo huo kulalamikia kuanza kutekelezwa kwa sheria za trafiki maarufu sheria za Michuki.
Ikumbukwe wahudumu wote wa magari walipewa hadi tarehe kumi na mbili mwezi huu yaani Jumatatu kuhakikisha kuwa wanazingatia sheria hizo kama vile, kuweka vidhibiti mwendo na mikanda ya usalama katika magari yao, la si hivyo adhabu kali zitachukuliwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.