Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Wahudumu wa Matatu ugoma kuanzia Jumatatu

Huenda shughuli za usafiri zikatatizika kote nchini kuanzia Jumatatu wiki ijayo baada ya Muungano wa Wahudumu wa magari ya uchukuzi wa umma kuwashauri wanachama wao kushiriki mgomo. Muungano huo umeitisha mgomo huo kulalamikia kuanza kutekelezwa kwa sheria za trafiki maarufu sheria za Michuki.

Ikumbukwe wahudumu wote wa magari walipewa hadi tarehe kumi na mbili mwezi huu yaani Jumatatu kuhakikisha kuwa wanazingatia sheria hizo kama vile, kuweka vidhibiti mwendo na mikanda ya usalama katika magari yao, la si hivyo adhabu kali zitachukuliwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902