×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Mwakilishi wadi wa Mtepeni,Kilifi ataka marufuku ya Disco Matanga kuondolewa

Huku idara ya Elimu kaunti ya Kilifi ikiripoti kuongezeka kwa viwango duni vya masomo miongoni mwa wanafunzi kaunti hiyo, baadhi ya viongozi wanakashifu hatua ya serikali kupiga marufuku sherehe za mazishi maarufu kama Disco Matanga inayotajwa kuchangia mimba za mapema na matokeo duni ya mitihani.

Mwakilishi wadi ya Mtepeni Kaunti ya Kilifi Victor Mwaganda Gogo ameeleza kuwa sherehe hizo zimesaidia pakubwa katika kumaliza umasikini sawa na kuwapa vijana ajira ili kukimu mahitaji yao.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in