The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Huku idara ya Elimu kaunti ya Kilifi ikiripoti kuongezeka kwa viwango duni vya masomo miongoni mwa wanafunzi kaunti hiyo, baadhi ya viongozi wanakashifu hatua ya serikali kupiga marufuku sherehe za mazishi maarufu kama Disco Matanga inayotajwa kuchangia mimba za mapema na matokeo duni ya mitihani.
Mwakilishi wadi ya Mtepeni Kaunti ya Kilifi Victor Mwaganda Gogo ameeleza kuwa sherehe hizo zimesaidia pakubwa katika kumaliza umasikini sawa na kuwapa vijana ajira ili kukimu mahitaji yao.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.