Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mataifa ya COMESA kuunga mkono uteuzi wa Amina kutwaa uenyekiti wa AU

NA Mike Nyangwoka
Uteuzi wa Waziri wa Masuala ya Kigeni, Amina Mohammed kutwaa uwenyekiti wa Umoja wa Afrika, AU, unazidi kupata uungwaji mkono huku ikiwa bayana kwamba ana nafasi bora ya kuibuka mshindi. Hatua hii inajiri baada ya mataifa wanachama wa COMESA kutangaza kumuunga mkono. Aidha mataifa haya yamewataka wanachama wake kumuunga mkono Yacin Elmi Bouh wa taifa la Djibouti kuwa Naibu Mwenyekiti wa AU.
Katika barua kutoka mataifa hayo 19, COMESA imesema imechukua hatua hiyo ili kudhihirisha ukomavu wa mataifa ya Afrika, duniani.
Juma lililopita, Rais Uhuru Kenyatta akiwa katika mkutano nchini Togo aliwasihi marais wanane kumuunga mkono Balozi Amina.
Mataifa hayo ni pamoja na Kenya, Burundi, Comoros, DR. Congo, Djibouti, Misri, Eritrea, Ethiopia, Libya, Madagascar, Malawi, Mauritius, Rwanda, Ushelisheli, Sudan, Uswizi, Uganda, Zambia na Zimbabwe.
Kwa mujibu wa Naibu wa Rais William Ruto, uteuzi wa Amina Mohammed umetokana imani aliyonayo Rais kwake.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902