Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Ripoti kuhusu sababu za kuteketezwa kwa shule kuwasilishwa kwa Matian'gi

Muda mfupi tu baada ya Waziri wa Elimu, Fred Matiang'i kujumuika na wabunge mbalimbali wa Kaunti ya Kisii kwa hafla ya kuchanga fedha katika Shule ya Upili ya Wavulana ya Nyamache Jumatatu, tukio jingine la mabweni mawili kuteketezwa usiku wakuamkia Jumanne limeripotiwa shuleni humo.
Kufuatia hali hiyo OCPD wa Nyamache, Japhet Mwiricha amesema maafisa wa polisi wameanzisha uchunguzi wa kubaini chanzo cha moto huo.
Kauli hii inajiri wakati washikadau katika sekta ya elimu wakitaka ripoti ya uchuguzi kuhusu msururu wa uteketezaji wa shule kuwekwa wazi kwa umma.
 
Maafisa wa usalama na wale wa elimu wanatarajiwa kuwasilisha ripoti yao Jumatano kwa Waziri Matiang'i.
Wakati uo huo Seneta wa Nyamira, Kennedy Mongare amekashifu hatua ya Matiang'i kuamuru wazazi walio na wanafunzi katika shule zilizoteketezwa kugharimia hasara iliyoshuhudiwa.

Na , Sulleiman Yeri

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

fred matiangi