The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Muda mfupi tu baada ya Waziri wa Elimu, Fred Matiang'i kujumuika na wabunge mbalimbali wa Kaunti ya Kisii kwa hafla ya kuchanga fedha katika Shule ya Upili ya Wavulana ya Nyamache Jumatatu, tukio jingine la mabweni mawili kuteketezwa usiku wakuamkia Jumanne limeripotiwa shuleni humo.
Kufuatia hali hiyo OCPD wa Nyamache, Japhet Mwiricha amesema maafisa wa polisi wameanzisha uchunguzi wa kubaini chanzo cha moto huo.
Kauli hii inajiri wakati washikadau katika sekta ya elimu wakitaka ripoti ya uchuguzi kuhusu msururu wa uteketezaji wa shule kuwekwa wazi kwa umma.
Maafisa wa usalama na wale wa elimu wanatarajiwa kuwasilisha ripoti yao Jumatano kwa Waziri Matiang'i.
Wakati uo huo Seneta wa Nyamira, Kennedy Mongare amekashifu hatua ya Matiang'i kuamuru wazazi walio na wanafunzi katika shule zilizoteketezwa kugharimia hasara iliyoshuhudiwa.
Na , Sulleiman Yeri
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.