×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Abiria wote waliokuwa katika ndege iliyoanguka Jumanne, waliaga

Abiria wote waliokuwa katika ndege iliyohusika katika ajali Jumanne usiku kwenye Msitu wa Aberdare walifariki dunia. Mwenyekiti wa kampuni ya ndege ya Fly SAX iliyohusika ajali hiyo Charles Wako amethibitisha taarifa hizo huku akituma rambirambi kwa familia za walioaga.

Tangazo hilo limetolewa muda mfupi uliopita wakati shughuli ya kuwatafuta manusura ikiendelea.
Mapema leo Katibu wa Wizara ya Uchukuzi, Paul Maringa alisema mabaki ya ndege hiyo yalipatikana Kusini Magharabi ya msitu huo eneo la Njambini, Kaunti ya Nyandarua.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in