×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wakuu wa vitengo vya usalama Kilifi wahamishwa

Maafisa wakuu wa vitengo vyote vya usalama katika Kaunti ya Kilifi wamehamishwa.

Waziri wa Usalama na Masuala ya Ndani ya Nchi, Profesa Kithure Kindiki amesema iwapo ni kweli kwamba wapo maafisa waliopokea taarifa kuhusu mauaji ya Shakahola na kukosa kuchukua hatua basi hawastahili kuwa miongoni mwa wanaoendeleza uchunguzi.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in