×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Maandalizi ya ziara ya Rais William Ruto katika eneo la Nyanza yakaribia kukamilika

Maandalizi yanaendelea kabla ya ziara ya siku mbili ya Rais William Ruto katika eneo la Nyanza.

Akizungumza na wanahabari katika Ikulu ya Rais ya Kisumu Msemaji wa Ikulu Hussein Mohamed amesema kwamba ziara ya siku mbili katika eneo la Nyanza inalenga kutimiza baadhi ya ahadi alizotoa kwa wakazi wa eneo hilo hapo awali.

Hussein aidha amepuzilia mbali hofu kwamba hakuna fedha za kutosha za kugharamia miradi mbalimbali ya kimaendeleo akisema kuna mikakati maalum ya kufadhili miradi hiyo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

["Nyanza"]