Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
News
By Carren Omae | Jan. 12, 2023 | 1 min read
.
Trending Now
- Kemri study shows pork, poultry meat sold in supermarkets contaminated
- Doctor leaves mobile phone in woman’s stomach after caesarean operation – She only realizes after it vibrates inside her
- 'I used to be beautiful': Progress in management of HIVAids
- Cancer patient explains how bone marrow transplant saved his life
- Criminalising deliberate spread of HIV is legal, High Court rules
- Sexting by adolescents is fraught with risk
- Four arrested for discharging sewerage into rivers
- Bunyore Girls aka BGM: Was a 'highly valued school for wives'
- Nigerian politician in UK court over organ-harvesting claims
- Bill Gates! Drinking water that, minutes ago, was human faeces
.
Popular this week
- Kemri study shows pork, poultry meat sold in supermarkets contaminated
- Cancer patient explains how bone marrow transplant saved his life
- Humphrey Haj: Bleeding to death is my daily threat
- 'I used to be beautiful': Progress in management of HIVAids
- What discovery of 'new' mosquito means and what you should do now
- Bill Gates! Drinking water that, minutes ago, was human faeces
- How Raila Odinga outwit police, journalists at his residence
- Men, here are the natural foods to increase your ‘stamina’
- Nursing interns to down tools over unpaid allowances
- Science agency fetes 47 grassroots women
Next article
.
Similar Articles
.
Latest Articles
Health & Science
By Rosa Agutu
Mar. 20, 2023
Mental Health
Mar. 20, 2023
Health & Science
Mar. 20, 2023
.