The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mbunge wa Kabuchai Majimbo Kalasinga na mwenzake wa Webuye Mashariki Dan Wanyama wamewaongoza wakazi wa Chwele katika Kaunti ya Bungoma kufanya maandamano ya amani kulalamikia ongezeko la visa vya ajali kwenye maeneo bunge hayo.
Waandamanaji walifunga Barabara Kuu ya Lwakhakha - Chwele - Bokoli na kuzuia matrela yanayopita kwenye barabara hiyo wakisema ni chanzo cha visa vya ajali hizo.
Viongozi hao wanasema barabara hiyo ilitumika wakati wa janga la covid 19 ili kupunguza msongamano kwenye mpaka wa Malaba ila imeendelea kutumika baada ya msongamano huo kuisha.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.