Benki ya KCB imetenga shilingi bilioni 250 aitakazotumika kuwafadhili wanawake wawekezaji katika kipindi cha miaka 5 ijayo.
Ufadhili huo unaolenga biashara zinazomilikiwa na kusimamiwa na wanawake kote nchini unalenga kuimarisha mchango wa benki hiyo katika ukuaji wa uchumi.