×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Safaricom yazindua kampeni ya ''Tuinuane''

Kampuni ya Safaricom imezindua kampeni mpya kwa jina ''Tuinuane'' inayolenga kuwapa Wakenya moyo wa kusaidiana.

Chini ya Kampeni hiyo Safaricom inalenga kuiwezesha jamii kwa kuhakikisha wanafunzi wanapata vifaa vya masomo kwa haraka kando na kuzindua huduma mpyana za kisasa kwa manufaa ya wateja wake.

Afisa Mkuu Mtendani wa Safaricom Peter Ndegwa amesema kampeni ya ''Tuinuane'' imetokana na moyo wa Wakenya wote wa kujitolea kutoa usaidizi.

Chini ya Mpango huo, Wakfu wa Safaricom kupitia mpango wa Ndoto Zetu itaimarisha ushirikiano wake na jamii.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in