×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Sheria Mpya ya Kukabili Wizi wa Mitihani

Living

Na Mate Tongola

NAIROBI, KENYA, WANAFUNZI, Walimu na yeyote atakayepatikana na hatia ya kuiba mitihani ya kitaifa atakabiliwa na adhabu kali ikiwemo kuhudumu kifungo kirefu gerezani.

Iwapo wabunge wataupitisha mswada wa Mitihani ya Kitaifa wa mwaka elfu mbili kumi na sita uliowasilishwa bungeni na Mbunge wa Sabatia Alfred Agoi, watakaopatikana na hatia watahukumiwa kifungu cha miaka mitano gerezani au kulipa faini isiyozidi shilingi milioni tano.

Kwa mujibu wa mwaasisi wa mswada huo, iwapo utapitishwa na kuwa sheria, utachangia pakubwa katika kuleta nidhamu shuleni ikiwemo kudumisha nidhamu katika taasisi za elimu.

Itakumbukwa kuw amwezi Machi mwaka huu, Waziri wa Elimu Fred Matiang'i alivunjilia mbali bodi ya Baraza kKuu la Mitihani ya Kitaifa, KNEC na kuagizwa kuchunguzwa kwa wafanyakazi wa baraza hilo akiwemo aliyekuwa Afisa Mkuu Mtendaji Joseph Kivilu.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles