Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Polisi adaiwa kuibiwa bunduki na kahaba

Mshukiwa Jackson Vuti Muthangya akiwa mahakamani baada ya kudaiwa kuiba bunduki na rununu ya afisa wa polisi. Amezuiliwa kwa siku 15 hadi polisi wakamilishe uchunguzi wao dhidi yake. Picha: Kelvin Karan.

Afisa wa polisi ambaye alipoteza bunduki yake anadaiwa kuibiwa bunduki hiyo na kahaba, kisha kumsingizia mhudumu wa bodaboda. Afisa huyo ambaye hakutajwa kwenye nakala za kuomba mahakama kumzuilia mhudumu huyo wa bodaboda anaaminika kuchukua kahaba ambaye alimwibia bunduki pamoja na simu yake ya mkono, kisha kudai kuwa mhudumu huyo alijua kahaba huyo. Maafisa wa polisi walitaka Mahakama kupitia Hakimu Mkuu Edna Nyaloti kumzuilia Jackson Vuti Muthanya kwa siku ishirini ili kukamilisha uchunguzi wa wizi huo dhidi yake.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902