The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mshukiwa Jackson Vuti Muthangya akiwa mahakamani baada ya kudaiwa kuiba bunduki na rununu ya afisa wa polisi. Amezuiliwa kwa siku 15 hadi polisi wakamilishe uchunguzi wao dhidi yake. Picha: Kelvin Karan.
Afisa wa polisi ambaye alipoteza bunduki yake anadaiwa kuibiwa bunduki hiyo na kahaba, kisha kumsingizia mhudumu wa bodaboda. Afisa huyo ambaye hakutajwa kwenye nakala za kuomba mahakama kumzuilia mhudumu huyo wa bodaboda anaaminika kuchukua kahaba ambaye alimwibia bunduki pamoja na simu yake ya mkono, kisha kudai kuwa mhudumu huyo alijua kahaba huyo. Maafisa wa polisi walitaka Mahakama kupitia Hakimu Mkuu Edna Nyaloti kumzuilia Jackson Vuti Muthanya kwa siku ishirini ili kukamilisha uchunguzi wa wizi huo dhidi yake.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.