Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Nchi 31 ambako hakuzikwi waliofariki

Wafanyikazi wa kaunti ya Nairobi wakitayarisha sehemu ya kuchoma maiti katika makaburi ya Lang'ata.

Mdahalo umezuka tangu kuteketezwa kwa mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Safaricom, Robert “Bob” Collymore na wakenya wengine mashuhuri hivi karibuni kuwa sababu yake halisi ya kupitia mfumo huo ni nini haswa.

Wakenya hao mashuhuri ambao miili yao ilipitia mfumo huo ni pamoja na aliyekuwa mwanaharakati wa uhifadhi wa Mazingira Bi. Wangari Maathai aliyefariki mwaka 2011, aliyekuwa kiongozi wa upinzani Keneth Matiba, aliiyekuwa mchezaji golf maarufu Peter Njiru, aliyekuwa waziri Peter Okondo, Askofu wa Kanisa la Kianglikana Manasses Kuria na mkewe Nyambura Kuria.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902