The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wakati jamii ya Waluo walipohamia nchini Kenya kutoka maeneo ya Uganda na Sudan, walijitafutia makao yao karibu ziwa la Victoria mnamo karne ya 15 wakiongozwa na Mzee mmoja kwa jina la Ramogi Ajwang ambaye alichukuliwa kama miongoni mwa mashujaa wa mwanzo.
Vizaliwa waliozaliwa hatimaye walikuwa na hamu ya kufi kia kiwango chake cha umaarufu. Barubaru walimuenzi na kutamani kuwa mfano wake. Kulingana na wana historia, wanasema hiki ndicho chanzo cha mahiri wa siasa ya Nyanza, akiwemo Oginga Odinga kuwa sababu yakujibatiza jina la “Ja-Ramogi” ikimaanisha “Ni ukoo wa...” (Jaramogi Oginga Odinga) na kweli Mzee aliambulia kuwa wa ajabu, kuogopesha, kuheshimika na kinga ya jamii nzima ya Nyanza.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.