×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now

Jaramogi Oginga alivyolinda ardhi Nyanza

Mzee Jaramogi Oginga Odinga

Wakati jamii ya Waluo walipohamia nchini Kenya kutoka maeneo ya Uganda na Sudan, walijitafutia makao yao karibu ziwa la Victoria mnamo karne ya 15 wakiongozwa na Mzee mmoja kwa jina la Ramogi Ajwang ambaye alichukuliwa kama miongoni mwa mashujaa wa mwanzo.

Vizaliwa waliozaliwa hatimaye walikuwa na hamu ya kufi kia kiwango chake cha umaarufu. Barubaru walimuenzi na kutamani kuwa mfano wake. Kulingana na wana historia, wanasema hiki ndicho chanzo cha mahiri wa siasa ya Nyanza, akiwemo Oginga Odinga kuwa sababu yakujibatiza jina la “Ja-Ramogi” ikimaanisha “Ni ukoo wa...” (Jaramogi Oginga Odinga) na kweli Mzee aliambulia kuwa wa ajabu, kuogopesha, kuheshimika na kinga ya jamii nzima ya Nyanza.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in