The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kasoro ya jina ya Huduma Namba ni mpangilio wa maneno unaokiuka sintaskia ya Kiswahili.
Serikali ya Jubilee imejipa sifa mbovu – kutoshauriana na washikadau; huwakurupukia tu kijeshijeshi raia wake kila inapotekeleza jambo. Raia nao kwa kutishika, hutii amri zenyewe kikondoo licha ya kuwa katika giza totoro. Kutoshauriana huku kumewafikisha katika upeo wa udhia wataalamu wa Kiswahili, mimi nikiwamo.
Ni nani aliyebuni jina Huduma Namba? Je, wavuti wa www.bomayangu.go.ke? Maswali haya yananikereketa maini. Kutokana na kisomo changu kidogo cha Kiswahili hadi kiwango cha uzamili, ninaiambia waziwazi serikali kuwa majina haya yana kasoro! Ninafahamu fika kwamba si lazima lugha za matangazo, vilevile kaulimbiu ziwe sahihi kisarufi– almuradi kuna mvuto ‘unaonasa’ makini ya walengwa, pia uchache wa maneno. Hata kuchanganya maneno ya lugha mfano Kiswahili na Kiingereza kunakubalika. Kila mtaalamu wa lugha anaelewa fika ukiushi huu, sikwambii umuhimu wake.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.