×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Mvumilivu hula mbivu: Harambee Stars hoyeee!

Wachezaji wa Harambee Stars wakumbatiana baada ya kufunga bao [STANDARD]

Kila jambo jema huwa na mwanzo mgumu tena wenye nuksi na kukorofishana ikibidi! Ingawa hivyo, mwisho wake huwa mtamu kama haluwa. Ndio hapo waambiwa cha jasho hakikosi utamu. Yaani kwa kifupi, mvumilivu hula mbivu.

Nianze kwa kusema kuwa leo hii jarida hili linaivulia kofia timu ya taifa ya soka Harambee Stars. Wanavyosema watu: twaizimia timu ya soka nchini sigareti.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Harambee Stars